Pauni Milioni 165 kiganjani kwa Wenger, Aambiwa Msimu Ujao Ubingwa Utue Emirates Stadium.
Pauni Milioni 165 kiganjani kwa Wenger, Aambiwa Msimu Ujao Ubingwa Utue Emirates Stadium.
Wamiliki wa klabu hiyo wamemtengea kocha huyo Mfaransa Pauni 165 milioni na kumweleza azitumie kuimarisha kikosi chake.
Lengo la wamiliki hao kumpatia fedha hizo Wenger ni kushindana na wababe wengine England kwenye soko la usajili.
Tayari, Wenger anayo majina ya Riyad Mahrez wa Leicester City na Mturuki Arda Turan ambaye ameachwa na Barcelona.
Wenger ameambiwa awe makini na kikosi chake Arsenal msimu ujao kwani
mwisho wa msimu atatakiwa kutwaa taji ambalo amelikosa tangu msimu wa
2004.

Post a Comment