Msitu wa Mwal Nyerere Butiama kuanza kusimamiwa na Serikali
Msitu wa Mwal Nyerere Butiama kuanza kusimamiwa na Serikali
Ofisi ya Waziri Mkuu, imetangaza kuanza kusimamia na kuutunza msitu wa
baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, uliopo Butiama mkoa wa Mara, kama sehemu
ya kumuenzi na kuendelea kutunza mazingira.
“Sisi tutauangalia msitu huu, lakini tunaomba ushirikiano wa wakazi wa
Butiama, tukiwaomba wiki hii mfanye kitu hiki, mtusaidie na
tushirikiane,” alisema Makamu wa Rais

Post a Comment