Jeniffer Mgendi atoa rai kwa mashabiki wake
Jeniffer Mgendi atoa rai kwa mashabiki wake
Na Nyamarasa Mgaya
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili hapa Nchini Tanzania, Jeniffer Mgendi amewaomba mashabiki wake na watanzania kwa ujumla kumtegemea Mungu kwani yeye ndiye ajuae maisha ya mtu.
Na Nyamarasa Mgaya
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili hapa Nchini Tanzania, Jeniffer Mgendi amewaomba mashabiki wake na watanzania kwa ujumla kumtegemea Mungu kwani yeye ndiye ajuae maisha ya mtu.
Katika ukarasa wake wa Facebook Mgendi ameandika "Naomba
tumtegemee Mungu kwani yeye ndiye ajuae maisha ya mtu na pia ndiye atoae
uzima na afya njema" aliandika.
Jenifer Mgendi alianza kupata umaarufu baada ya kutoa
albamu yake ya "mchimba mashimo" ambayo ilimtangaza na kumpatia mashabiki
wengi, mbali na uimbaji pia mgendi amewahi kucheza filamu mbalimbali
ikiwemo ya 'Chai moto' pamoja na 'Teke la mama'.

Post a Comment