Wasanii wa Bongo Nani Kawaroga? Kila Msanii Anataka Kwenda Kimataifa Kumbe ndo Mnajiaribia...
Wasanii wa Bongo Nani Kawaroga? Kila Msanii Anataka Kwenda Kimataifa Kumbe ndo Mnajiaribia...

Mbaya zaidi wanatumia mamilioni kuwalipa wasanii hao wanaowaita wa kimataifa na utengenezaji wa videos ambazo hakuna anaejisumbua ata kuziomba kwenye TV stations.
Tulitegemea labda wasanii wetu hawa watakua wajanja na wabunifu kidogo labda, ila wao wameimba kama wanaija tu hali inayopelekea kupoteza muda na fedha.
Kujua ni kujua tu, hakuna aja ya kupoteza muda kwa watu ambao ata nao hawajatoboa kimataifa kama uyo sijui IYO nk., sasa hawa wanao jiupgrade na kujiita wa kimataifa ila wanategemea show moja ya fiesta maishani wanajiskiaje wakiona mtoto mdogo kama Aslay tu ambae video Zake uenda ni za elf 50 tu ila uswahilin kote nchini zinapigwa kama nyimbo za taifa na youtube ngoma zake zinatoboa views million Mpaka 2+, lazima watajidharau tu ila na kwa vile wasanii hawa ni mbumbumbu Hawawezi kureason hapo.
Sasa unakuta msanii chege alishafanya nyimbo mpaka na run town ila sasa nna uhakika hata malawi hawajui kama kuna mbumbumbu anaitwa chege, huyu simlaumu kwakua amekua akilazimisha fani, ila sana wale wenzake daaah hasa joh maskini huyu yeye tulijua anatoboa maana davido huyu huyu kabisa? Davido kaishika africa kwa sasa unapata bahati adhimu alaf unaimbaa kataa kataa leta wewe umerogwa au? Hio hela ya mavideo ya gharama ya nyimbo mbaya kama hio si bora uyo msanii angeenda kununulia ng'ombe tu zikaja kumsaidia maishani.
Anyway, wasanii wetu bado hawajajua kua wanapoteza muda na fedha kutafuta vitu wasivyovijua, big up diamond wasaidie ndugu zako.
Post a Comment