click here

click here

Uhuru Kenyatta Pao Sana..Asema Ruksa Kuandamana wa Wasioridhishwa na Matokeo..Aamuru Polisi Wasizuie

Uhuru Kenyatta Pao Sana..Asema Ruksa Kuandamana wa Wasioridhishwa na Matokeo..Aamuru Polisi Wasizuie

HABARI: Rais Mteule wa Kenya, Uhuru Kenyata asema wananchi wanaruhusiwa kuandamana kwani ni haki yao kikatiba...amewaamuru Jeshi la Polisi kuacha kutumia nguvu kupita kiasa...ila Serikali haitavumilia watakaoharibu mali za umma.

No comments

Powered by Blogger.