click here

click here

Wolper apata ugonjwa wa wanaume.

Wolper apata ugonjwa wa wanaume.

Akizungumza na Star Mix, Wolper alisema, kutokana na upendo wa kweli anaojitahidi kumuonyesha mwanaume anapokuwanae kwenye uhusiano na kujikuta akiambulia maumivu, ameona bora aweke kando masuala ya mapenzi na kuwa`bize’ na kazi zake.
 
 “Sina mpenzi kwa sasa nimeona bora niweke pembeni haya mambo nifanye kazi  zangu tu ndo muhimu, nikipenda hawa wanaonisumbua `now’ nitapenda na nitakuwa kimapenzi, lakini bado wote wanaonisumbua hakuna aliyefaulu kunishawishi niwe naye,” alisema Wolper

No comments

Powered by Blogger.