click here

click here

Taarifa kamili kuhusu kifo cha Mzee Ndesamburo

Taarifa kamili kuhusu kifo cha Mzee Ndesamburo


Wakati uchunguzi wa kifo cha Hayati Philemon Ndesamburo ukiendelea,taarifa za awali zinadokeza kuwa moyo wake ulikuwa na matatizo makubwa.
Kiongozi wa wachunguzi wa kitabibu,Prof. Elisante Masenga amesema kuwa taarifa hiyo ni ya awali na taarifa kamili itatolewa hapo baadaye baada ya uchunguzi kukamilika.
R. I. P. Hayati Ndesamburo!
Chanzo: ITV Habari

No comments

Powered by Blogger.