click here

click here

STORYGRAM1: Polepole amefunguka kuhusu sakata la Makenikia, na kusema vita hairudi nyuma.

  Polepole amefunguka kuhusu sakata la Makenikia, na kusema vita hairudi nyuma.

Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wake  wa Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole  kimeweka wazi kuwa hakitarudi nyuma kwenye vita ya Uchumi iliyoanzishwa na Rais John Magufuli.


Amewataka Watanzania  kumuonga Mkono Rais John Magufului Kwenye vita ya Uchumi aliyoianzisha ili Wananchi kunufaika na rasimali za nchi.

No comments

Powered by Blogger.