Msikiti Wagoma Kuuzika Mwili wa Kijana Aliyefanya Shambulio la Manchester na Kuuwa 22..
Msikiti Wagoma Kuuzika Mwili wa Kijana Aliyefanya Shambulio la Manchester na Kuuwa 22..!!!!
Msikiti Mkubwa katika Jiji la Manchester wagoma kuuzika na kujihusisha
na mazishi ya kijana aliyefanya shambulio lililouwa watu 22 na kujeruhi
wengine wengi. Mpaka sasa taarifa zinasema mwili wa kijana huyo bado upo
katika chumba cha kuhifadhia maiti.

Post a Comment