click here

click here

simba kimataifa zaidi

Simba Rasmi wajipanga  Kimataifa zaidi


wekundu wa msimbazi ya simba imetwaa ubingwa wa kombe la shirikisho la TFF baada ya kuibamiza Mbao FC bao 2-1 kwenye mechi ya fainali iliyopigwa katika viwanja  la Jamhuri mkoani Dodoma

Ifahamike kuwa Kwa ushindi huu walioupata Simba imejinyakulia milioni 50 na kujipatia nafasi ya kucheza  michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kwa mara ya kwanza tangu msimu wa mwaka 2012/13, huku mshindi wa pili akiambulia patupu zaidi ya medali

No comments

Powered by Blogger.