Mtayarishaji wa ngoma mpya ya Msanii Alikiba, kutoka 'Combination sound' Man Water amedai kuwa kutokana na 'Stock' ya nyimbo alizomtengenezea msanii huyo, wimbo huo ni ngoma ya kawaida na iliyopoa kuliko zote ila kutokana na mapokeo ya mashabiki yamewafanya hata yeye na Kiba kuwa mashabiki wa ngoma hiyo.
Mtayarishaji wa ngoma mpya ya Msanii Alikiba, kutoka 'Combination sound' Man Water amedai kuwa kutokana na 'Stock' ya nyimbo alizomtengenezea msanii huyo, wimbo huo ni ngoma ya kawaida na iliyopoa kuliko zote ila kutokana na mapokeo ya mashabiki yamewafanya hata yeye na Kiba kuwa mashabiki wa ngoma hiyo.
Post a Comment