click here

click here

Washambuliaji 2 wa London watajwa na polisi

Washambuliaji 2 wa London watajwa na polisi

Na BBC
Polisi nchini Uingereza imewataja wanaume wawili kati ya watatu waliofanya shambulio katika mji wa London Bridge siku ya Jumamosi na kuwauwa watu saba kabla ya kuuawa kwa risasi .
Mmoja wao alikuwa Khuram Butt, alikuwa akitambuliwa na huduma za usalama za Uingereza.

Aliwahi kuonekana kwenye kipindi cha Televisheni mwaka jana kilichoangazia kundi lenye itikadi kali linalounga mkono Islamic state .
Wote waliokuwa wamekamatwa na polisi kufuatia mauaji hayo wameachiliwa bila mashtaka yoyote.

No comments

Powered by Blogger.