click here

click here

STORYGRAM1: Povu Hashim Rungwe kuhusiana na uteuzi wa rais

Povu Hashim Rungwe kuhusiana na uteuzi wa rais

aliyekuwa Mgombea wa urais mwaka 2015, kupitia chama cha CHAUMA, Ndugu Hashimu Rungwe amedai kuwa analitakiwa kufanya  Rais Magufuli ni  kuchague wote na kwamba na achague na wabunge toka upinzani na sio kama njia inayofanywa sasa ya kuteua tu wapinzani walioandaliwa na vyama vyao.
Rais asipewe madaraka ya kuchagua kila mtu apendavyo yeye. Na katiba ya nchi inatakiwa kubadilishwa na kuwekwa sawa.

No comments

Powered by Blogger.