click here

click here

storygram1: Mghwira Aenda Kuhani Familia ya Marehemu Ndesamburo


  Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mgwhira, ameenda kuhani msiba wa aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema, mkoa huo, marehemu Philemon Ndesamburo.
aidha Mghwira ametoa rambirambi kwa familia ya Ndesamburo, aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini kwa awamu tatu mfululizo.
mpaka sasa ni siku mbili tu baada ya kuapishwa na Rais,  Ikulu jijini Dar es Salaam. ikumbukwe kuwa Mghwira aliyeteuliwa hivi karibuni na Rais John Magufuli na kwa sasa yupo  katika eneo lake jipya la kazi,

No comments

Powered by Blogger.