click here

click here

Serikali yashauriwa izuie simu ya Prof Muhongo, Chenge, Tibaijuka

Serikali yashauriwa izuie simu ya Prof Muhongo, Chenge, Tibaijuka

Jumuiya ya Kupambana na Kuzuia Rushwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ivitaka vyombo vya dola kuzuia Mawasiliano ya watuhumiwa wa kashfa  wa Escrow.

Akizungumza na Muungwana Blog Rais wa Jumuiya hiyo Abdul Nondo amewataja viongozi hao wa wa Umma  ni pamoja na Professa Anna Tibaijuka , Andrew Chenge , Sospiter Muhongo na wengine wanatakiwa kichunguzwa na kushikiliwa Mawasilino yao kisha kupelekwa Mahakamani kwa vigogo hao
 
 
 
 
 
chanzo    udakuspecial

No comments

Powered by Blogger.