Majibu ya Rihanna kwa wanaomuita kibonge
Majibu ya Rihanna kwa wanaomuita kibonge
Msanii anayefanya vizuri kwenye chat ya muziki nchini Marekani, Rihanna amewajibu watu wanao mkejeli kwa kumuita kibonge nyanya.
Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii kuwa na msambazo wa picha za mwanamuziki huyo zikimuonyesha jinsi alivyonenepa na huku wengine wakihisi ni mjamzito na wengine
wakimuandikia maneno ya kashfa..
Hata hivyo Rihanna ameamua kukata mzizi wa fitina na kuamua kuwajibu kupitia mtandao wa Instagram, kwa kupost picha ya Gucci Mane enzi zake alivyokuwa mnene na ile ya sasa hivi inayomuonyesha amepungua zaidi na kuweka picha ya mdoli akiwa analia.
Hata hivyo Rihanna ameamua kukata mzizi wa fitina na kuamua kuwajibu kupitia mtandao wa Instagram, kwa kupost picha ya Gucci Mane enzi zake alivyokuwa mnene na ile ya sasa hivi inayomuonyesha amepungua zaidi na kuweka picha ya mdoli akiwa analia.
Post a Comment